Upgrading to promote its members, the public by providing
a range of services in a competitive environment to enable the citizen, member
eliminate poverty, respected and recognized in the community and his dignity in
work and its place in public in the value of his personality are eligible.
An organization will not involve in any, religious
beliefs of any kind, will remain a development organization for the benefit of
members of the population as a whole, as customers and partners who are the
beneficiaries.
Institutions will be able to set up small projects for
various other activities mix, as well as being able to own property, buildings,
land, equipment, movable and immovable.
In accordance with the laws of the United Republic of
Tanzania, organizations will be able to prosecute and conviction, the rights
and obligations as a society.
Kiswahili
Kuinua na
kuendeleza wanachama wake, wananchi kwa kutoa huduma mbalimbali na katika
mazingira ya ushindani ya kumwezesha mwananchi, mwanachama kuondokana na
umasikini, kuheshimika na kutambulika katika jamii na utu wake katika kufanya
kazi na nafasi yake kwa umma kwa thamani ya utu wake stahiki.
Asasi
haitajihusisha na shughuli za kiasa, kidini, itikadi ya aina yoyote. Itabaki
kuwa Asasi yenye maendeleo kwa manufaa ya wanachama wa watu wote kwa ujumla,
kama wateja na wadau ambao ndiyo walengwa.
Asasi itakuwa na
uwezo wa kuanzisha miradi midogo midogo kwa shughuli nyinginezo mbalimbali
mchanganyiko, pamoja na kuwa na uwezo wa kumiliki mali, majengo, ardhi, vifaa,
zana zinazohamishika na zisizohamishika.
Kwa mujibu wa sheria za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,
Asasi itakuwa na uwezo wa kushitaki na kushitakiwa, haki na wajibu kama Asasi.
Ahsante
No comments:
Post a Comment