Friday, 13 December 2013

SIKU YA MAADILI YA KITAIFA

Viongozi wa Tanzania Mjini Kazi waliposhiriki katika mjadala wa siku ya kitaifa ya maadili, ulioandaliwa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU).







 KAMANDA MKUU WA TAKUKURU(M) MOROGORO,Kulia akisisitiza jambo wakati wa mjadala.
 Mkuu wa Idara ya kuzuia na kupambana na rushwa      
(Otto Matandula) akifuatilia mjadala