Saturday, 30 November 2013

Drug abuse control


    In order to achieve the objectives of the department and the organization as a whole, heads of department in conjunction with the administration we ask for the support of state and property in order to facilitate the construction of housing victims of drugs is achieved by providing education to the community.





    Head of the department of prevention and fight against illegal drugs when he went to visit the location of the construction of special housing victims of drugs and make observations about the presence of developers or users of these drugs in rural areas.

      The journey, general had an opportunity to talk to some of the users of some of these drugs as they use marijuana etc.




















Tuesday, 19 November 2013

Mkutano wa viongozi wa TAMKA na waandishi wa habari.

Mwenyekiti wa Asasi (Tanzania Mjini Kazi) akitoa historia fupi ya Asasi hiyo kwa waandishi wa habari (kulia) pamoja na kutambulisha wajumbe wa Asasi na Wakuu wa Idara zinazopatikana katika Asasi hiyo.

Katika kutambulisha Asasi hiyo Mwenyekiti huyo (Daud Salum) alisema kuwa ,Asasi ina idara kuu tano ambapo alizibainisha na kueleza kazi za kila idara.
Hatua hiyo ilienda sambamba na kuwatangaza wataalamu au wakuu wa idara ambao anasema wataalamu hao wamejiandaa katioka nyanja zote na wako tayari kufanya kazi na Asasi ili kufanikisha malengo ya Asasi.
Idara hizo:- Idara ya Rushwa na Madawa ya kulevya, Idara ya Kilimo na Mifugo, Idara ya Mazingira, Idara ya UjasiliamaliIdara ya Uwezeshaji pamoja na Idara inayohusika na kutoa elimu juu ya maambukizi ya virusi vya UKIMWI.

 Pia Katibu Mkuu wa Asasi hiyo Ndugu Paulo Masenga(kushoto) alipata fursa ya kusisitiza mambo ya msingi na mikakati ya Asasi hiyo katika kuleta maendeleo kwa jamii na kufanya Morogoro kuwa Jiji
Waandishi wa habari walipokuwa wanasikiliza Hotuba za viongozi wa Asasi katika viwanja vya Midland Hotel

Sunday, 17 November 2013

Organizational leaders and delegates issued a statement to reporters about Saturday 11, 2013.
chairman of the organization was emphasizing cooperation between government institutions and to convey the message as an organization.
Add caption